
Televisheni ya Taifa TBC1 imeamua kurudia vipindi vya zamani katika kipindi chote ambacho OK ikiwa likizo.
Joseph D. Shamba - Vengu amesafirishwa kupata matibabu ya ziada katika hospitali ya Apolo nchini India takribani majuma matatu yaliyopita. OK inatoa shukrani kwa serikali kuu, wizara ya afya, hospitali ya Taifa ya Muhimbili, ndugu, wapenzi na marafiki kwa msaada wa hali na mali kuhakikisha afya ya Jose ikiimarika. OK inamtakia Jose matibabu yenye mafanikio na apone haraka ili kuendelea na kazi kama kawaida

Mazishi yamefanyika tarehe 04.05.2011 nyumbani kwao maeneo ya Korogwe.
Uongozi wa Origino Komedi unaungana na wafiwa wote na kuomboleza msiba huu mzito.
Mungu ailaze roho ya marehemu Mohamed Muya mahali pema peponi. Amen.




20295
422

